Hii Mapambano Tuition Centre mmhh..!

Nani mkuu wa hiyo senta niombe kazi ya kufundisha hisabu na uchumi au hata komasi na bukipingi.

Naahidi kufundisha bure kabisa maana najua hataweza kunilipa mshahara, mshahara wangu utakua hizo teaching incentives, payment in kind..

Mkuu kama unamjua mkuu wa hiyo senta mwambie mwalimu wa bure yupo anataka kujitolea kufundisha, anaweza kufundisha uraia,uhasibu,hisabati,uchumi na geog kuanzia kidato cha kwanza hadi sita bureeeee.
 
Mkuu stori kama hizi bila picha ni Sawa na porojo tu. Hebu rudi tena pale Mapambano Piga picha watoto wa form One na form five &six . Tuone ukweli wa habari yako. Hapa mi naona kama umetuletea DIBAJI tu
 
Mkuu stori kama hizi bila picha ni Sawa na porojo tu. Hebu rudi tena pale Mapambano Piga picha watoto wa form One na form five &six . Tuone ukweli wa habari yako. Hapa mi naona kama umetuletea DIBAJI
 
Mkuu stori kama hizi bila picha ni Sawa na porojo tu. Hebu rudi tena pale Mapambano Piga picha watoto wa form One na form five &six . Tuone ukweli wa habari yako. Hapa mi naona kama umetuletea DIBAJI
Hahaha, poa mkuu
 
Watareseat hata miaka 10 nao watatoka na kupata shahada na stashahada, then watajiajiri nao kwa kufungua tuition centres.
 
Hacheni kuaribu Biashara za wenzenu, nguo na ufundishaji n vitu viwili tofauti, kwani wao ndio wanawanunulia nguo?
Mbona mm nimesoma hapo tuition kuanzia form one 1996 wakati ipo shule ya Msingi mapambano, na mpaka inaamia kwa Mzee chilumba, then nyuma ya Nakiete.
Ukienda kwa mawazo yako ya kingono yatakuwa ya kingono tu, na ukienda na mawazo ya kishule utasoma tu.
Bila shaka wewe hata chuo ujafka ungefika usingeandika huu upuuzi maana hayo n mavazi ya kawaida sana vyuoni, tofautisha nguo na shule dogo!
Ukitoka nenda CBE na IFM ukaone vya wakubwa
 
Hahaaaa! Mkuu itakuwa jamaa kaingia kwenye anga zako
 
Hahaaaa! Mkuu itakuwa jamaa kaingia kwenye anga zako

Hajaingia anga zangu maana mm nipo nje ya dar kitambo, ila hata wadogo zangu wote wamesomea hapo na wote wamefanikiwa, ila kama n mtu wa chupi ata ukasomee kanisani n kazi bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…