donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,131
- Thread starter
-
- #41
Haaahaa! Nakumbuka 2010 nikiwa 6 nilikuja Dar likizo ndo nikaambiwa nitafute tuition, nikapeleka hapo mapambano, babaaa! nilipotoka pale breki ya kwanza ilikuwa bafuni ili nijichuwe. Sikurudi tena, nilisema mimi wa mkoani siyawezi haya.
Duhao ndio kawaida yao wamelazimishwa kurudia mitihani na wazazi ,wengi wanatembea na waalimu wao
Hahaha, umenikumbusha mbali mkuu,
Kassim nampata sana, jamaa waduwanzi pale wanawaibia watoto wakishua tu. Mi nliaxha pindi nkawa naenda kupiga pepa zao jmoculiwah kupigwa pindi na hao jamaa nini? magumashi mengi wandava wakahamia kwa pizzo mzaramo pale nyuma ya ubungo plza!!
Dah mkuu hapo kwenye andha kanoon umenkumbusha mbal sana enz hizo tunaita hamza kanuni!utoto rahaHabari za leo wakuu,
Mida flani hivi ya asubuhi bimkubwa aliniomba nikamlipie king'amuzi cha Star times pale Bamaga, basi nikaenda nikalipia fresh.
Wakati wa kurudi nikasema acha nipige andha kanoon (kutembea kwa miguu) hadi Mwenge. Basi nilipofika pale Nakiete building nikashawishika kukata ile kona niende Mapambano kumpa hai ndugu yangu bw. Mussa Biteba.
Ebwana eeeh, hii sio twisheni tena ni kama sehemu ya kabiashara fulani haramu na kituo cha vijana kuuza sura. Nilipishana na mabinti kadhaa eti ndo wanaingia pindi, dressing code nikajikuta kimoyomoyo nasema 'mayo nene nacha', nguo za kuvaa night clubs tena uwe na guarantee ya usafiri binafsi watoto wa kibongo ndo wametinga wanazama kubukua.
Ikabidi nisimame pembeni ni observe, kidogo ndo balaa likatinga, ebwana huyo sister kavaa kimini dzain hata akiangusha kalamu class hawezi okota kabisa, pembeni yuko na sijui ndio boy wake yule kavaa zile suruali wanapenda kuvaa wakongoman zile katikati linakua kama umejinyea hivi linatepweta.
Nikakumbuka enzi zetu za kwa hidden mchikidown, kwa Mbuge.. Nikasema kweli this is new school, I am way too old school (nikakumbuka msemo wa Danny glover kwenye lethal weapon akimwambia Mel Gibson 'am too old for this shit....').
Dah mkuu hapo kwenye andha kanoon umenkumbusha mbal sana enz hizo tunaita hamza kanuni!utoto raha
Kweli mkuu, but on other hands unakuta wazazi are not aware of their kids dressing code kwasababu wanadamka early in the morning na tuition hua ni kwanzia saa tatu lets sayHao watoto wanatoka kwa wazazi wao na wamewaacha watoke hivyo, so tatizo sio hiyo tuition tatizo ni wao na wazazi wao
Kwahiyo sisi tufanyaje mkuu??
Kilichonikuta ni kile mleta mada alichokisema, mi nilikuwa sijazoea kuona mapaja ya mabinti nje nje kiasi kile huko mkoani kwetu.ulikutana na nini mkuu
Ndomimi mleta mada mkuu, naam naelewa kilichokukutaKilichonikuta ni kile mleta mada alichokisema, mi nilikuwa sijazoea kuona mapaja ya mabinti nje nje kiasi kile huko mkoani kwetu.
Ukabaki tu kaisiki nkwenda muno..... Akananakange kwishaba igonzi...Kilichonikuta ni kile mleta mada alichokisema, mi nilikuwa sijazoea kuona mapaja ya mabinti nje nje kiasi kile huko mkoani kwetu.
Poa poa kaka, napaelewa sana pale mapambano. Ilibidi hiyo tuition nipige pale makongo sec.Ndomimi mleta mada mkuu, naam naelewa kilichokukuta
Nisingeweza maana hata ningekubaliwa nisingekuwa na ela ya kuhudumia.Ukabaki tu kaisiki nkwenda muno..... Akananakange kwishaba igonzi...
HALAFU WANATEGEMEA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOYAPATA AWALI...Teh teh hiyo Suruali anakuwa kama vile kajinyea inaitwa Balotel. Halafu hao wanaorudia mitihani na QT wapo kama vile wamelogwa maana upumbavu ule ule uliowafanya wafeli wakiwa full school ndio wanaurudia tena kwa kasi ya ajabu kabisa.