uchawiKitu gani kingine mkuu?
😂😂Safi,hebu jipake ufanane na Magufuli au Mwijaku tuwekee hapa tufurahie
Ukifuta make up ndo unakuwa masoud sura mbayaMimi mwenyewe naweza jipaka nikafanana na Beyonce Niki minaji na masoud sura mbaya..asitubabaishe
😂😂😂 Wewe huyo..!!..Basi jitahidi uwe unajidabika makeup walau uonekane katika uso wa dunia.Ukifuta make up ndo unakuwa masoud sura mbaya
Aaiyaaa..kesho tena hiyo15 min loading...........