Hii make up ni next level!

Farolito

JF-Expert Member
Sep 10, 2018
11,634
26,373
Kutana na Richard Jane,mwanadada kutoka Nigeria mwenyewe uwezo wa kujifanyia make up yeye mwenyewe na kufanya afanane na mtu yeyote yule.
IMG_20200801_000829.jpg
Raisi Buhari
IMG_20200731_234147.jpg
IMG_20200731_234120.jpg
 
Mimi mwenyewe naweza jipaka nikafanana na Beyonce Niki minaji na masoud sura mbaya..asitubabaishe
Safi,hebu jipake ufanane na Magufuli au Mwijaku tuwekee hapa tufurahie
 
Hata sura yake halisi tutashindwa kuiamani kama ni yake sasa
 
Back
Top Bottom