Karibu kwenye jukwaa mpiana, ila hapa sipo.Utafiti uliofanyika ni mzuri japo maelezo hayajajitosheleza ni aina gani ya matikiti sababu yana kabila kama binadamu,kuna meupe tupu hadi ndani na kuna yenye wekundu ndani.Pia kiwango cha maji yanayojaa 2mboni baada ya kula tikiti yanaweza kuathiri tendo hata kama nguvu zitangezeka.