TECHMAN
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 2,651
- 1,124
Mpo njiani mnatoka shamba, kushakuwa jioni sana na kuna dalili za kunyesha mvua, mara anakuja mwarabu wa shamba la jirani akiwa na pickup yake, mbele kuna nafasi moja tu. mwarabu anashauri, Mkeo Amuweke mbele kisha wewe akuweke nyuma muendelee na safari. Je utakubali????