buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 3,140
- 6,286
Mkuu unapoelekea watakutapeli, no way hii laptop uipate chini ya milioni 1. Kwa hio 590,000 asilimia 99 huyo mtu anakutapeli.
Vipi Renewed laptop huko amazon ni utapeli?
Mkuu unapoelekea watakutapeli, no way hii laptop uipate chini ya milioni 1. Kwa hio 590,000 asilimia 99 huyo mtu anakutapeli.
Hata renewed mkuu ngumu kuipata hio bei sababu hio laptop ni ya kisasa haijapitwa na wakati.Vipi Renewed laptop huko amazon ni utapeli?
Hata renewed mkuu ngumu kuipata hio bei sababu hio laptop ni ya kisasa haijapitwa na wakati.
Gen ya 8 iliweka standard kwa ku double core, hivyo utofauti wa gen ya 8 na 7 ni mkubwa sana, ila gen ya 8,9 na 10 ni kama zinafanana tu. Hivyo laptop kama hio ya gen ya 8 ngumu kuikuta inashuka bei ovyo ovyo, ila gen ya 7 kushuka unazipata bei hio.
Gen ya 7 ni kawaida kuikuta rahisi. Nikiona bei ama link ndio nitajua kama unapigwa ama laSo 7th gen ikiwa renewed amazon iko fresh au tunapigwa
Haha yaani mie mwenyewe nilishangaa, chakushangaza zaidi kwenye website yao iko pay on delivery option nimewauliza whatsapp wameniambia ndio unaweza pay on delivery, kuna option ya kuweka oda unajaza info na una click "pay on delivery" na ila kitu kimoja nilipoulizia hii husika wameniambia zimeisha na watanipa taarifa zikifika.Mkuu unapoelekea watakutapeli, no way hii laptop uipate chini ya milioni 1. Kwa hio 590,000 asilimia 99 huyo mtu anakutapeli.
Mkuu ungeeka na link watu wangewatambuaHaha yaani mie mwenyewe nilishangaa, chakushangaza zaidi kwenye website yao iko pay on delivery option nimewauliza whatsapp wameniambia ndio unaweza pay on delivery, kuna option ya kuweka oda unajaza info na una click "pay on delivery" na ila kitu kimoja nilipoulizia hii husika wameniambia zimeisha na watanipa taarifa zikifika.
Sent using Jamii Forums mobile app