Juzi nikiangalia CNN nikaona inazungumziwa habari ya nchi wahisani wakitoa misaada ya chandarua katika jimbo moja huko Nigeria na wakasema ikifika mwakani watakua wamegawa kwa kaya zote Nigeria ili kusaidia kutokomeza Malaria.Nikajiuliza kwani vyandarua milioni 80(idadi ya Wanageria) ni bei gani na Serikali ya Nigeria kwenye mabilioni yote ya mafuta kweli wameshindwa kumudu program hii wenyewe au ndio yale yale ya MIAFRIKA NDIO TULIVYO.