Hii kutoka UTUMISHI mnaionaje?

Hii kutoka UTUMISHI mnaionaje?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
31,301
Reaction score
89,417
Jana, wakiwa katika semminar ya siku moja, wajumbe na mwenyekiti wao, Sekretarieti ya ajira wametangaza mpango wao wa kutaka kuanza kupokea maombi ya ajira kwa njia ya kielekronic. Sababu yao kuu ni kupunguza msongamano wa barua ofisini kwao.

PS. Hawajabainisha wazi kwamba itakua kwa njia ya Email au itabidi tufanye registration kwanza/kua na account ndio una apply.

Mi naona hii itapunguza gharama kwa waombaji, ila pia nna mashaka kama zitakua zinasomwa kweli hizi application zote.
 
Jana, wakiwa katika semminar ya siku moja, wajumbe na mwenyekiti wao, Sekretarieti ya ajira wametangaza mpango wao wa kutaka kuanza kupokea maombi ya ajira kwa njia ya kielekronic. Sababu yao kuu ni kupunguza msongamano wa barua ofisini kwao.

PS. Hawajabainisha wazi kwamba itakua kwa njia ya Email au itabidi tufanye registration kwanza/kua na account ndio una apply.

Mi naona hii itapunguza gharama kwa waombaji, ila pia nna mashaka kama zitakua zinasomwa kweli hizi application zote.

hiyo ni nzuri sana kwa sababu jana nimepita posta (mjini) nimeshuhudia watu wakituma barua za maombi nyingi zikielekezwa huko. kwa upande mwingine wataiua kampuni yetu POSTA SABABU KWA SASA NI KITEGA UCHUMI CHAO KIKUBWA
 
Wanaenda kuliua shirika la posta.

Usikariri mkuu Lutambi,shirika la posta sio ku deal na barua tu.Hayo ndio matokeo ya mawazo ya wazee wetu mpaka kupelekea hapo lilipo shirika la posta sasa.
Wanaweza kutumia mfumo wa ki electronic na shirika la posta likabaki kua ndio mratibu mkuu wa shughuli nzima.
Think globally but act locally.
 
Jana, wakiwa katika semminar ya siku moja, wajumbe na mwenyekiti wao, Sekretarieti ya ajira wametangaza mpango wao wa kutaka kuanza kupokea maombi ya ajira kwa njia ya kielekronic. Sababu yao kuu ni kupunguza msongamano wa barua ofisini kwao.

PS. Hawajabainisha wazi kwamba itakua kwa njia ya Email au itabidi tufanye registration kwanza/kua na account ndio una apply.

Mi naona hii itapunguza gharama kwa waombaji, ila pia nna mashaka kama zitakua zinasomwa kweli hizi application zote.

Wanajua kufungua email attachment?
 
yaani kila njia ina faida zake na hasara zake... kwangu naikubali kwa sababu inamrahisishia mwombaji maana wengine wanashindwa kuomba kwa kukosa nauli ya kwenda posta na pesa ya kutoa kopi vyeti na kununua stemp..
 
hii njia naiunga mkono,7bu haina gharama sana na ni rahisi kutumia
 
hahaha.. hahha... sema ndio CV ya huyu watakapo mpa yule.

Mimi nakuambia ukweli HR wengi sana wanashindwa kuajiri right candidate simply because asilimia kubwa hawajui computer na wengine ni wavivu mfano wakiona email za application zipo 100 wanaweza wakaamua kudownload email 20 tu basi na 80 hawazigusi
 
Hapo umesema kweli mdau, haya ndio yale yale ya kuchinjiwa baharini... hata hzo ishirin atasoma chache, macho yakianza kumuuma 2 nyngne atazpotezea.
 
hiyo ni nzuri sana kwa sababu jana nimepita posta (mjini) nimeshuhudia watu wakituma barua za maombi nyingi zikielekezwa huko. kwa upande mwingine wataiua kampuni yetu POSTA SABABU KWA SASA NI KITEGA UCHUMI CHAO KIKUBWA

haaa! haaaa wabongo bhana kila kitu "KAMPUNI" adi posta nayo kampuni! hwa hwa hwaaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom