KitaaUliinywea wapi kwanza?
Mabibo wineNaitafuta sana na Nahitaji anaejua aniambie au Tz zinaingizwa kimagendo maana nilikunywa siku 1 tu
Tuanzia hapo kwa aliekuuzia akwambie katoa wapi ndipo tutaweza kujua pa kuipata halafu piga picha vizuri nikusaidie kuitafuta.Kitaa
Taxation issuesNa hii pia imeadimika Sana mtaaniView attachment 3445833