hii kitu ipo hapa kwetu?

Sounds so gud to watch it!...(unazo hz dvd nini carmel tukuungishe.:D:D)!!

Watu wanaingia kwenye ndoa wakiwa skeptical, hata ukiangalia happa JF, posts nyingi za wanaotaka kuingia kwenye relations hizi zinakuwa na hali ya machale sana juu ya uamuzi wao.

Kwa wenye dini, dawa yake ni rahisi, kuomba mke toka kwa Mungu, ili akupe mtu mtakayefanana, na hivyo kuachana na haofu zote na hasira zisizokuwa na sababu.

Maisha ya kukaa na hasira kifuani ni hatari mno kwa ndoa, maana hakuna ajuaye zitalipuka saa ngapi, na adha yake itakuwa nini.

We should not step into marriage in a trial manner, this is 'once and for all'-thing!

Nitatafuta hii movie..interested!

PJ Wengine wanaingia kwenye ndoa maana ni fashion ...all my friends are getting hitched...

Kuna street saying --Marriage in haste repent at pleasure...
 
Mwanaume/Mvulana siku zote hutafuta kitu kimoja tu toka kwa mwanamke yeyote yule siyo wote duniani.

Mwanamke/Msichana hutafuta vitu vingi toka kwa mwanaume mmoja tu.

Na ndo maana wananwake ndo wanakuwaga na hasira kutokana na yule aliyemsababishia hasira yaani ex-bf wake.
 
Wadada hapo kwenye red hapo ningefurahi sana kupata 'HONEST ANSWERS! Zitasaidia sana kwa kwa wadada kujielewa, maana kuna baadhi ya wanawake wana confuse hicho kitu!!!

Being strong kwa mtazamo wangu ni mwanamke anayejiamini na kujieheshimu at the same time anaheshimu kila mtu. Anatekeleza wajibu wake inavyostahili bila maringo, dharau au kiburi. Pia kujua wajibu wako kama mwanamke na kuajibika ipasavyo sio kutafuta visingizio na ugomvi kuficha udhaifu wako. Ukifanikiwa kufanya hivyo una haja ya kujigamba kwani watu watakusifia wenyewe
 
Being strong kwa mtazamo wangu ni mwanamke anayejiamini na kujieheshimu at the same time anaheshimu kila mtu. Anatekeleza wajibu wake inavyostahili bila maringo, dharau au kiburi. Pia kujua wajibu wako kama mwanamke na kuajibika ipasavyo sio kutafuta visingizio na ugomvi kuficha udhaifu wako. Ukifanikiwa kufanya hivyo una haja ya kujigamba kwani watu watakusifia wenyewe

Nimekugongea SENKSI. Maana kuna baadhi ya wanawake wanadhani kuwa ''a strong woman'' ni kuwa mbishi kwa mwanaume hata pale ambapo mwanaume yuko sahihi!
 
Mkuu Invisible,

Saidia watu hapa with these two movies:

1. The diary of a tired black Man

2. Not easily broken

Probably na hizi:

WHY did I get married?

I think I love my Wife
Ukiongezea na Obsession hasa kwa wale wanaopenda kazi za nje!!
 
Jana nilikuwa naangalia movie moja inaitwa A diary of a tired black man, niliipenda na ikanifikirisha sana. inaelezea jinsi african-american women wanavyoharibu relationship zao kwa ajili tu ya matatizo waliyopitia katika maisha yao. Yani vitu kama kukosa malezi ya baba na mama (kwamba majority wamelelewa na mzazi mmoja hasa mama, so hawakuwa na father figure), pia previous relationship kama zilikuwa abusive, wanacarry that anger to a next relationship, na pia type ya marafiki wa kike walio nao, wengi wao ni ambao wamefail kwenye r/ship zao kwa sababu kama hizo na hivyo wanaadvise vibaya. Hii inasababisha hata kama mwanamke kapata mwanaume mzuri asiye na tatizo lolote kusuffer kwenye r/ship na kuamua kuondoka. Nimelileta hapa ili kupata mawazo ya wengine maana kwa mawazo yangu mimi nadhani hili linakuja kwa jamii yetu kwa kasi pia, tunashughudia divorce nyingi kwa sasa, na hata kama siyo divorce, ndoa nyingi zina migogoro, watu wanaishi kwa machale zaidi kila mtu akiwa mguu ndani mguu nje. Watu wengi waliokuwa wanahojiwa wamekubali kwamba wanawake wengi wana hasira au wana vitu wameficha ndani ya roho zao vinavyoleta anger attack unnecessarily. Hiyo imepewa jina la Angry Black Woman Syndrome (ABWS). Ningependa kila mtu ajiangalie je:
Kama wewe ni mwanamke;
ni mwanamke mwenye hasira,
je marafiki zako wa kike ni wanawake wenye hasira
nini kinachofanyaga mahusiano yako kuharibika?
Ukisema au kujiona strong woman, huwa unamaanisha nini?

Kama wewe ni mwanaume;
Ulishawahi kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye hasira?
na kama jibu ni ndiyo, hali hiyo ikufanya ujisikieje?
Je hali hiyo ilikufanya uchoke?
Na kwa wote
Mnasolve vipi matatizo ya kimahusiano yanapotokea?

Mwisho atakaeyeweza kuipata hii movie aiangalie, inasaidia kukufanyia self- analysis na kujua uliposimama. (najua kuna watu wameshaiona hii mpvie/documentary). Ingine yenye theme inayokaribiana na hii ni "NOt easily broken", the same issues za marriage zinavyokuwa affected na kazi zetu hizi, wazazi etc.
Aaah,mi sishangai juu ya hili hapa kwetu,as we are living under the copy and paste theory!!
 
Back
Top Bottom