Kuna aina ya uvaaji umeibuliwa na wakina dada/mama, aina hii ni ile ya kuvaa suluari au pensi alafu juu anavaa fulana ya kubana na anachomekea. Kwa kweli binafsi japo mimi ni mwanaume sina ujasiri wa kuvaa fulana bila shati kutoka Mbezi hadi Kariakoo, lakini kwa baadhi ya wanawake hili linawezekana. Karibu tujadili.
Kuna aina ya uvaaji umeibuliwa na wakina dada/mama, aina hii ni ile ya kuvaa suluari au pensi alafu juu anavaa fulana ya kubana na anachomekea. Kwa kweli binafsi japo mimi ni mwanaume sina ujasiri wa kuvaa fulana bila shati kutoka Mbezi hadi Kariakoo, lakini kwa baadhi ya wanawake hili linawezekana. Karibu tujadili.
Heheheeiya..mtuwache tupumue..
na vinyweleo vipumue siyo?
Na kila kitu,tujifunike tuungue na joto huku tumejimiminia maji ya karolaiti...!
Cha ajabu tunaiga utamaduni mbaya badala ya kuiga mazuri toka mbele.
Unamuiga Nick minaj akiwa kwenye shooting lakin ukienda nyumbani kwake unakuta amevaa very decent.
Huo ni ushamba wa mwafrika
Kuna aina ya uvaaji umeibuliwa na wakina dada/mama, aina hii ni ile ya kuvaa suluari au pensi alafu juu anavaa fulana ya kubana na anachomekea. Kwa kweli binafsi japo mimi ni mwanaume sina ujasiri wa kuvaa fulana bila shati kutoka Mbezi hadi Kariakoo, lakini kwa baadhi ya wanawake hili linawezekana. Karibu tujadili.
Kuna aina ya uvaaji umeibuliwa na wakina dada/mama, aina hii ni ile ya kuvaa suluari au pensi alafu juu anavaa fulana ya kubana na anachomekea. Kwa kweli binafsi japo mimi ni mwanaume sina ujasiri wa kuvaa fulana bila shati kutoka Mbezi hadi Kariakoo, lakini kwa baadhi ya wanawake hili linawezekana. Karibu tujadili.
Kuvaa majani/ngozi/magogo kufunika papuchi na kuacha wazi makalio na chuchu ndiyo ujanja wa mwafrika!!