Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 5,143
- 2,547
Kuna aina ya uvaaji umeibuliwa na wakina dada/mama, aina hii ni ile ya kuvaa suluari au pensi alafu juu anavaa fulana ya kubana na anachomekea. Kwa kweli binafsi japo mimi ni mwanaume sina ujasiri wa kuvaa fulana bila shati kutoka Mbezi hadi Kariakoo, lakini kwa baadhi ya wanawake hili linawezekana. Karibu tujadili.