HII Kitu Hii Kitu HIIII

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,641
155,001
Sometimes iko ngumu kama big g mpya,
some times soft kama Big g iliyoliwa hadi kuisha utamu.
Ukiikubali inakupa raha ikikuvamia inakuumiza,
hii kitu ni tamu hadi watu wanajiua kwa kuona imeenda kwa wengine.
hii kitu ni soo bwana.
 
mmmmmmmmmmh dori dori nimeokota kidu...................................
 
Bujibuji fafanua tafadhari mambo ya primary tulishamaliza sasa tunawaza kusomesha wajukuu zetu ..No chemsha bongo tena
 
Sometimes iko ngumu kama big g mpya,
some times soft kama Big g iliyoliwa hadi kuisha utamu.
Ukiikubali inakupa raha ikikuvamia inakuumiza,
hii kitu ni tamu hadi watu wanajiua kwa kuona imeenda kwa wengine.
hii kitu ni soo bwana.

siku izi imekuwa upupu ukikupata tu utajikuna majipu mwili mzima mgeni huyo balaa
 
Sometimes iko ngumu kama big g mpya,
some times soft kama Big g iliyoliwa hadi kuisha utamu.
Ukiikubali inakupa raha ikikuvamia inakuumiza,
hii kitu ni tamu hadi watu wanajiua kwa kuona imeenda kwa wengine.
hii kitu ni soo bwana.

Hii kitu si chuma,ngeshaliwa na kutu,
haifanani na nyama,imtoe denda mtu,
sio wali wala sima,kuitaja sithubutu,
ina asili ya unyama,weza kupa utukutu,
 
Back
Top Bottom