KELVIN GASPER JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 1,066 Reaction score 454 Sep 30, 2011 #1 Keki kutoka kanda ya ziwa. Attachments IMG_0657.JPG 66.5 KB · Views: 270
happiness win JF-Expert Member Joined Aug 30, 2011 Posts 2,461 Reaction score 1,394 Sep 30, 2011 #2 Hii ni keki au ndafu????? Nadhani ingeitwa ndafu ya samaki.
Rejao JF-Expert Member Joined May 4, 2010 Posts 9,219 Reaction score 4,087 Sep 30, 2011 #3 watu siku hizi wanatafuta cha kutokea
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Sep 30, 2011 #4 duh! kaazi kwelikweli watu ni wataalum sana wa starehe lakini mambo ya maana wala.............
ndetichia Platinum Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,589 Sep 30, 2011 #5 happiness win said: Hii ni keki au ndafu????? Nadhani ingeitwa ndafu ya samaki. Click to expand... you are right madam H W..
happiness win said: Hii ni keki au ndafu????? Nadhani ingeitwa ndafu ya samaki. Click to expand... you are right madam H W..
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,832 Reaction score 13,798 Sep 30, 2011 #6 Muzuru lakini.
Mamndenyi Platinum Member Joined Apr 11, 2011 Posts 44,689 Reaction score 64,718 Sep 30, 2011 #7 huyo bibi harusi ana kazi ya kuipata hiyo minofu.
africa6666 JF-Expert Member Joined Aug 18, 2008 Posts 281 Reaction score 53 Sep 30, 2011 #8 Alama za ufisadi!!!!
Ndallo JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 7,621 Reaction score 4,311 Sep 30, 2011 #9 Hii kama sikosei itakua Mwanza!
wende JF-Expert Member Joined Sep 6, 2009 Posts 714 Reaction score 67 Sep 30, 2011 #10 imebuniwa vizuri japo mi si mpenzi wa hao samaki!