Raisi anapowaambia wasadizi wake kuwa wenye serikali ni yeye kama raisi na makamu wake na kwamba wao ndio walizunguka nchi nzima na pale alipoongeza kwa kuwaambia wasaidize wake waache kusumbua raia kwani kawateua tu na wengine hata hawakutarajia na kwamba hawana political responsibility na kabla hawajaamua jambo lolote wawaone yeye na makamu wake kwanza.
Umegusa penyewe hasa ! Hii ni serikali ya mtu mmoja tu , ndio maana tumemuonya Ndalichako na kauli zake .Mama Ndalichako una political responsibility?
Hapo hujaelewa nini,?bavicha mnasubiri Rais aongee mpate kufinyanga kauli zakeRaisi anapowaambia wasadizi wake kuwa wenye serikali ni yeye kama raisi na makamu wake na kwamba wao ndio walizunguka nchi nzima na pale alipoongeza kwa kuwaambia wasaidize wake waache kusumbua raia kwani kawateua tu na wengine hata hawakutarajia na kwamba hawana political responsibility na kabla hawajaamua jambo lolote wawaone yeye na makamu wake kwanza.
Sio huyo tu na naibu spika je?Mama Ndalichako una political responsibility?
Uwezo wako wa kuelewa ni tiamaji tiamajiHapo hujaelewa nini,?bavicha mnasubiri Rais aongee mpate kufinyanga kauli zake
Mbona sijaona ukiuliza Tanap wenzako kuhusu lowassa kufurahia marufuku ya mikutano ya hadhara
sasa ww unapingana na Mh mtukufu malaika!!?Hivi swali ni kuomba kuteuliwa,au kuzunguka nchi mzima au swala ni kusimamia sheria bila kujari wewe niwa kuchaguliwa au kujeuliwa
Hakuna jambo lililoumiza nyoyo za watu kama ile bomoa bomoa iliyokuja kuzuiwa na Mahakama Dar. Nikilinganisha na hili la machinga linakuwa "peanut" ila sikumsikia kusema lolote. What's going on with this man!ha ha kwa sababu ni Mwanza Mbeya Arusha Dar es salaam hakumhusu ni mbaguzi mkabila sana
Hiyo ni sifa Kuu ya wafuasi wa chademaUwezo wako wa kuelewa ni tiamaji tiamaji
anashangaza anapofanya maamuzi kwa mafungu ya watanzania ingekuwa mara ya kwanza tungenyamaza lakini yupo sensitive na mwanza manake hao ndio watanzania kuliko wengine wana damu na nyama kuliko wengine uongozi wake wa manati na ni hovyoHakuna jambo lililoumiza nyoyo za watu kama ile bomoa bomoa iliyokuja kuzuiwa na Mahakama Dar. Nikilinganisha na hili la machinga linakuwa "peanut" ila sikumsikia kusema lolote. What's going on with this man!
Hilo nalo neno..........ha ha kwa sababu ni Mwanza Mbeya Arusha Dar es salaam hakumhusu ni mbaguzi mkabila sana
Mke wake na mama Suluhu wamemshauri abadilike baada ya kugundua kuwa wananchi wa kawaida wamemchukia sanaUmejiuliza mbona wale vijana wa UDOM walitimuliwa bila huruma?
Nachokiana hapa huenda mkuu ameshaanza kuona dalili ya yeye kuchukiwa na wananchi.
Machinga wa mikoa mingine wakifanya biashara bila kufuata sheria napo atathubutu kukemea? 'Maana kasema leo ndiyo mwisho kuongelea mambo ya machinga na wachimbaji madini wadogo wadogo live.ha ha kwa sababu ni Mwanza Mbeya Arusha Dar es salaam hakumhusu ni mbaguzi mkabila sana
= kujaliHivi swali ni kuomba kuteuliwa,au kuzunguka nchi mzima au swala ni kusimamia sheria bila kujari wewe niwa kuchaguliwa au kujeuliwa
Ile bomoa bomoa ya nyumba 500 kule kivule-Ukonga ilikuwa ya kinyama zaidi lakini kwa kuwa wakazi wa pale si wasukuma ndiyo maana hakutaka kupazungumzia kabsa.Hakuna jambo lililoumiza nyoyo za watu kama ile bomoa bomoa iliyokuja kuzuiwa na Mahakama Dar. Nikilinganisha na hili la machinga linakuwa "peanut" ila sikumsikia kusema lolote. What's going on with this man!