Hii kauli naona kama inatuhusu

Hii kauli naona kama inatuhusu

jasusi muasi anaye iumiza kichwa CIA, ila kule bara giza hawachelewi kukutumbukiza kisima au kukutia kwenye sandarusi wakikuhurumia sana lazima ukapimwe mkojo
 
Hizo quotes mbona huwa ni za wadhungu tu hamnaga wavietnam au waarabu wanaoweza kuwa quoted

Sent using Jamii Forums mobile app

“When you point a finger at the moon to indicate the moon, instead of looking at the moon,the stupid ones look at your finger.”
Mao Zedong
huyu ni Mchina na alisema haya juzi juzi tu hapa akiwa kaburini kwake baada ya mimi kumshikia bango Hon Tundu Lissu LLB,LLM wakati issue ni kulipa deni.

Huyu naye Mhindi, alimtumia ujumbe huu 'Mwanasiasa Mlaumiwa' alipoona anataka kukata tamaa sababu ya laumu ziizomuandama kwa kosa la kusema ukweli.
https://www.goodreads.com/author/show/4797485.Mao_Zedong
https://www.goodreads.com/author/show/4797485.Mao_Zedong
 
Back
Top Bottom