Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Baada ya kutoka canada alikoenda kubembea kwenye gari la farasi na kupata jezi,kesho atakuwa uganda akiendeleza wimbi la kuishi angani na nje ya nchi anayoiongoza
Mbeya kaja Huku Mara mbili tokea awe Rais lakini USA kaenda Mara 15 inaelekea mbeya ni mbali sana kuliko USA!!!!
Mbeya kaja Huku Mara mbili tokea awe Rais lakini USA kaenda Mara 15 inaelekea mbeya ni mbali sana kuliko USA!!!!
Ungeuliza pia yupi safari zake zinamanufaa zaidi kwa Nchi yake.Kikwete na Hillary Rodham Clinton nani zaidi katika kupasua anga?