autorun255
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,105
- 363
Umeitunga vizuriii nilianza kuamini .....
naona jF inaanza kuvamiwa na watoto wa shule
Bange mbichi ni kiti kibaya sana
Unaweza kushangaa na kujiuliza maswali mengi maana kuchepuka si jambo jema.Yeye kanipongeza kutokana na kwamba nimeweza kuwahi nyumbani pamoja na kwamba ijumaa kunakuwa na foleni ndefu ya magari maana watu wengi wanawahi kutoka maofisini kwa sababu ni ijumaa.
Ila ningematwa na Traffic ningepigwa faini ndefu maana kuchepuka ni kosa kisheria. Kwa hapo hata wife angenilaumu kwa nini nimechepuka ila kwa sababu sijakamatwa na nimewahi home kafurahi na kunipongeza.
Pumbavuuuu....!!!! Shenzi zako...!!!! Acha ujinga wako bana....!!! Watu tunatoa macho hapa kusoma kumbe umeeleza upuuzi huu...!!!! Muone basi....!!!!! Hiloooo....!!!!!!
Wakati mwingine mtu unapigwa na bumbuwazi kuwa huu uzi umeandikwa na mwanaume kwa maana ya mwanaume au ni mvulana wa primary...??
Shida yenu mkiona heading tu, mnatafsiri kivyenu kabla ya kusoma habari ndo maana mnapanick ovyo!
Ha ha ha! Mkuu kumbe unawajua! Wakiona kichwa cha habari tu wanajiwekea wenyewe habari kamili vichwani mwao! Wakikuta tofauti na fikra zao wanaanza kutukana kwa hasira!
Lakini ndugu...heading si ndio ina reflect yaliyomo ndani....???
Kama ulikuwa unafahamu kuwa hii habari ni joke kwanini hukuipeleka jukwaa husika la joke...???
Watu wanakulaumu hapo tu...
Useless!!
Pumbavuuuu....!!!! Shenzi zako...!!!! Acha ujinga wako bana....!!! Watu tunatoa macho hapa kusoma kumbe umeeleza upuuzi huu...!!!! Muone basi....!!!!! Hiloooo....!!!!!!
ha ha ha ndo nyie mnaonunua magazeti ya udaku kwakuangalia kichwa cha habari halafu story unakuta nyingine
ha ha ha ndo nyie mnaonunua magazeti ya udaku kwakuangalia kichwa cha habari halafu story unakuta nyingine
Fundisho ni kwamba ukiona heading usikurupuke bila kusoma habari kwa undani.
Ha ha ha ha nimechekaje