kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Serikali iwachukulie hatua kali Traffic wa Buguruni wanatengeneza foleni kwa maksudi ili wapige hela.
Hili jambo lilizungumzwa humu sana kwamba askari wa usalama barabarani ndo wanatengeneza foleni pale ili wapige pesa
Baada ya haya madai nilijichimbia kutafuta ukweli juu ya hili hili jambo ni kweli kwa asilimia 100%
Nimeshapigwa faini pale mara tatu
Na ukweli wale jamaa huwa wanakubaliana kabisa kwamba kuwe na foleni ili ukijaribu tu kuchepuka au kukwepa wanakulima pesa au hata wanafanyaga ukaguzi pale
Sasa imagine unakamatia magari pale kwenye mataa hiyo foleni itaisha kweli?
Inasikitisha sana Kikosi cha usalama barabarani mnafumbia macho huu uhuni unaofanywa na traffic wa buguruni au wanawapa mlungula?
Hii haiwezekani kikundi cha wachache kisababishe hasara na tishio kwa uchumi wa nchi kwa kusababisha foleni pale kwa sababu ya personal gain zao
Kama hamuamini nayoyasema basi wekeni uchunguzi pale hili jambo nimelichunguza lina ukweli asilimia 100%..........
Wachukuliwe hatua kali sana
Hili jambo lilizungumzwa humu sana kwamba askari wa usalama barabarani ndo wanatengeneza foleni pale ili wapige pesa
Baada ya haya madai nilijichimbia kutafuta ukweli juu ya hili hili jambo ni kweli kwa asilimia 100%
Nimeshapigwa faini pale mara tatu
Na ukweli wale jamaa huwa wanakubaliana kabisa kwamba kuwe na foleni ili ukijaribu tu kuchepuka au kukwepa wanakulima pesa au hata wanafanyaga ukaguzi pale
Sasa imagine unakamatia magari pale kwenye mataa hiyo foleni itaisha kweli?
Inasikitisha sana Kikosi cha usalama barabarani mnafumbia macho huu uhuni unaofanywa na traffic wa buguruni au wanawapa mlungula?
Hii haiwezekani kikundi cha wachache kisababishe hasara na tishio kwa uchumi wa nchi kwa kusababisha foleni pale kwa sababu ya personal gain zao
Kama hamuamini nayoyasema basi wekeni uchunguzi pale hili jambo nimelichunguza lina ukweli asilimia 100%..........
Wachukuliwe hatua kali sana