Hii iwe picha bora ya mwaka 2023 kutoka kwa Askari na MwanaCHADEMA

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Hakika dunia na maisha vinakwenda kasi sana.

Naamini hii picha itakuwa ni funzo kubwa sana kwa Askari wetu na wana siasa wa upinzani hapa nchini.

Kwa miaka 7 hii kitu haikuonekana ktk mazingira yoyote katika mikutano ya kisiasa.

Nampongeza sana rais wa nchi na mwenyekiti wa cdm mh Mbowe kwa kuwezesha kurudisha tabasamu kwa askari na wanapinzani.

Wale wanaobeza juhudi za rais na mh Mbowe kurudisha utangamano na maridhiano hao hawana sifa ya kuitwa watanzania.

Screenshot_20230123-095637_Instagram.jpg
 
Ukiangalia hii picha jamaa ni kama washikaji waliopotezana muda mrefu na leo wamekutana wanakumbushana mambo ya zamani,wanacheka na kufurahi.

Haina Uhusiano na siasa kabisa.
Hawa askari wamempokea Mbowe, wakamsindikiza hotelini, na ulinzi muda wote wakampa..

Hiyo peke yake ilitosha kutoa taswira ya umoja uliopo, kitendo cha askari kutoa ulinzi, kwangu kimetosha kuwafanya hao jamaa waachane na mentality ya uadui kati yao, yote hayo ni matokeo ya maridhiano.
 
Hakika dunia na maisha vinakwenda kasi sana.

Naamini hii picha itakuwa ni funzo kubwa sana kwa Askari wetu na wana siasa wa upinzani hapa nchini.

Kwa miaka 7 hii kitu haikuonekana ktk mazingira yoyote ktk mikutano ya kisiasa.

Nampongeza sana rais wa nchi na mwenyekiti wa cdm mh Mbowe kwa kuwezesha kurudisha tabasamu kwa askari na wanapinzani.

Wale wanaobeza juhudi za rais na mh Mbowe kurudisha utangamano na maridhiano hao hawana sifa ya kuitwa watanzania.

View attachment 2492311
Pongezi ziendelee, kuna watu walivunjwa miguu na kuuwawa na mabomu kipindi cha kikwete lakini huko kote upinzani ulishasahau Ila kumbukumbu ni miaka 7 tu ya JPM, hakika chuki ni mbaya sana na haiwezi kusaidia kitu.
 
Hakika dunia na maisha vinakwenda kasi sana.

Naamini hii picha itakuwa ni funzo kubwa sana kwa Askari wetu na wana siasa wa upinzani hapa nchini.

Kwa miaka 7 hii kitu haikuonekana ktk mazingira yoyote katika mikutano ya kisiasa.

Nampongeza sana rais wa nchi na mwenyekiti wa cdm mh Mbowe kwa kuwezesha kurudisha tabasamu kwa askari na wanapinzani.

Wale wanaobeza juhudi za rais na mh Mbowe kurudisha utangamano na maridhiano hao hawana sifa ya kuitwa watanzania.

View attachment 2492311
Kuna hii ya 2022
20220113_103449.jpg
 
Back
Top Bottom