Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,574
- 3,133
Habari za wakti huu wana JF moja kwa moja
Nimejichunguza muda mrefu sana yaani. Nikiwa sina pesa huwa nawaza mambo ya kijinga sana, huwa nawaza mbususu, matumizi ya hovyo, kumsahau Mungu, matusi. Nikipata pesa kidogo tu huwa nakuwa makini sana, siwazi wanawake. Nikienda dukani huwa nakuwa mpole kwa muhudumu naagiza kwa staha.
Church ndio huwa nahudhuria tena misa ya saa 12. Nikose hela hata mood ya kusali hupotea. Nikipata pesa naonaga sina haja ya kuwa na mwanamke mwingine zaidi ya mama enu tu.
Nikiwa na pesa hujikuta nakuwa care sana nisimuudhi yeyote afu huwa nawaza mambo ya maendeleo kiasi kwamba ukiniomba ushauri au lolote basi mdomoni utatoka ushauri na mambo ya maana.
Nilivokuwa chuo boom ikiingia tu kuhudhuria huko class hata vipindi vya night na Discussions huongezeka. Likikata tu ruhusa kama zote kwa chair.
Nikiwa na hela bundle la simu huwa nagoogle mambo ya msingi asa bundle likiwa la kuuna unga afu ndio connection itoke aiseee ni kukesha tu.
Nikipata pesa tu huwa nawahi kulala afu huwa siongei hovyo hovyo.
Vipi kwa upande wenu wadau.
Upepo wa Pesa
Nimejichunguza muda mrefu sana yaani. Nikiwa sina pesa huwa nawaza mambo ya kijinga sana, huwa nawaza mbususu, matumizi ya hovyo, kumsahau Mungu, matusi. Nikipata pesa kidogo tu huwa nakuwa makini sana, siwazi wanawake. Nikienda dukani huwa nakuwa mpole kwa muhudumu naagiza kwa staha.
Church ndio huwa nahudhuria tena misa ya saa 12. Nikose hela hata mood ya kusali hupotea. Nikipata pesa naonaga sina haja ya kuwa na mwanamke mwingine zaidi ya mama enu tu.
Nikiwa na pesa hujikuta nakuwa care sana nisimuudhi yeyote afu huwa nawaza mambo ya maendeleo kiasi kwamba ukiniomba ushauri au lolote basi mdomoni utatoka ushauri na mambo ya maana.
Nilivokuwa chuo boom ikiingia tu kuhudhuria huko class hata vipindi vya night na Discussions huongezeka. Likikata tu ruhusa kama zote kwa chair.
Nikiwa na hela bundle la simu huwa nagoogle mambo ya msingi asa bundle likiwa la kuuna unga afu ndio connection itoke aiseee ni kukesha tu.
Nikipata pesa tu huwa nawahi kulala afu huwa siongei hovyo hovyo.
Vipi kwa upande wenu wadau.
Upepo wa Pesa