blogmaster
Senior Member
- Aug 15, 2015
- 167
- 74
- Thread starter
- #41
hapanaSwali langu moja Mjukuu wangu
Naweza share hyo network kwa Computer zaidi ya moja?
hapanaSwali langu moja Mjukuu wangu
Naweza share hyo network kwa Computer zaidi ya moja?
inaitwaje?
je kwenye sm inamaana siwez kutumia af tangazo lako likazie kiongz
ku share mbona simpleSwali langu moja Mjukuu wangu
Naweza share hyo network kwa Computer zaidi ya moja?
blogmaster unadanganya sharing unaweza fanya nishafanaya wireless na utp home jana tu bandle tu nime share 2computers jwa 1modem halotel 18GB nighthapana
Kinapatkana Nipo Dar tuchekiane boss..[emoji1] [emoji1] (PM)Natafuta kioo cha pc yangu dell
blogmaster unadanganya sharing unaweza fanya nishafanaya wireless na utp home jana tu bandle tu nime share 2computers jwa 1modem halotel 18GB night
Weka No zake mkuu basi
Weka contact zakeMkuu, huyu jamaa nadhani hana uelewa sana na haya mambo kiongozi.
Kwa sababu kuna baadhi ya posts zake mbili tatu nimetembelea nimeona tu uelewa wake jinsi ulivyo bado kidogo.
Na hata hiyo service anayofanya gharama zake ni kubwa mno coz kuna mtu mi namjua anafanya kwa 6500 Tsh tu per month.
Sasa nilivyoona hii ya elf 15 kwake nimeshtuka sana aisee ila kiukweli kwa service ya unlimited internet yupo mtu anafanya for 6500 only.
Weka contact zake
Duuh limebuma!Mkuu, huyu jamaa nadhani hana uelewa sana na haya mambo kiongozi.
Kwa sababu kuna baadhi ya posts zake mbili tatu nimetembelea nimeona tu uelewa wake jinsi ulivyo bado kidogo.
Na hata hiyo service anayofanya gharama zake ni kubwa mno coz kuna mtu mi namjua anafanya kwa 6500 Tsh tu per month.
Sasa nilivyoona hii ya elf 15 kwake nimeshtuka sana aisee ila kiukweli kwa service ya unlimited internet yupo mtu anafanya for 6500 only.
Duuh limebuma!
mdau naomba unisaidie mawasiliano yake PM niweze kujiunga aise duuuuMkuu, huyu jamaa nadhani hana uelewa sana na haya mambo kiongozi.
Kwa sababu kuna baadhi ya posts zake mbili tatu nimetembelea nimeona tu uelewa wake jinsi ulivyo bado kidogo.
Na hata hiyo service anayofanya gharama zake ni kubwa mno coz kuna mtu mi namjua anafanya kwa 6500 Tsh tu per month.
Sasa nilivyoona hii ya elf 15 kwake nimeshtuka sana aisee ila kiukweli kwa service ya unlimited internet yupo mtu anafanya for 6500 only.