Hii inakatisha tamaa sana

Hii inakatisha tamaa sana

Kaunga umenichekesha sana. Jamaa hawaoni hata ma house girl maana wangemuomba elf 5 tu!

Bora umemsaidia maana inaonyesha Jembe africa anapenda vya bure sana .........wenzie watunze ye asimamie shoo....utakoma na mkono wako wa birika Jembe Africa
 
Last edited by a moderator:
eeh tena hapo ndio napataka....hivi kwa nini mwataka advance ya asilimia kubwa wakati tunaweza fanya tit for tat...unakuja nakupa unavua
Mmh unaweza shindwa kunipa ukaona hela nyingi nipe advance kazi ikiwa mbovu 10% hunipi tena
 
Bora umemsaidia maana inaonyesha Jembe africa anapenda vya bure sana .........wenzie watunze ye asimamie shoo....utakoma na mkono wako wa birika Jembe Africa
hahahaaa..loading error...
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom