Naomba maana yake mkuuWengi watakuuliza lina maana gani![]()
Hahahaha.. Tunaokolewa kwa neema tuuIla msisahau wote mlioelewa huu uzi hamtaenda mbinguni bila kuomba toba
Soma hiki cheti cha uhitimuNaomba maana yake mkuu
Wadada hampo nyumaWanachoniboa ni hauwezi kudownload materials zao hadi ujisajiri...

Tuko mbele kwenye swala la kupata elimu, si unajua ukimuelimisha mtoto wa kike umeelimisha jamiiWadada hampo nyuma![]()
Hhhhh hatari najiungaje aise na vitendo nafanyia wapi?Soma hiki cheti cha uhitimuView attachment 1826478
Next step ya kunyongaHuwa mna download vya nini?haikutoshi kuangalia na ukaviacha hapo then ukaendelea na next step?

good editing man.. ila bado ni low quality. jitahidi sana
sio chuo man. hata picha huoni? hakuna kitu kama hikoDuuh! Kumbe ni chuo kabisa?! Probably wanafundisha mambo ya utu uzima yale
Kujichukulia sheria mkononiNext step ya kunyonga![]()
KweliTuko mbele kwenye swala la kupata elimu, si unajua ukimuelimisha mtoto wa kike umeelimisha jamii
, nilikuta na wifi ako siku moja amewahi kutembelea tovuti ya chuoMkuu, hongera sana.umeona morning class huwezi ku attend ila evening classes hukosiNina kidubwasha ambacho kinanipa access ya kuattend evening classes on TV walimu wao wazuri sana. Chuo bora kabisa![]()
Wanachoniboa ni hauwezi kudownload materials zao hadi ujisajiri...



khaaaah, hutaki registration wee?