DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,416
Ukuje, nitakupaTunaoteseka ni sisi tunaohitaji kudownload materials online, halafu kanakuja kasehemu ka log in...
(free boat), bando yangu mimi nitakupakulia unazotaka.Atakua John mizambi huyoKuna lecture mmoja kapiga msuli hapo ana CV kubwa yani kila department ana fit.
Juzi nimecheki akihudumu kama doctor, leo naingia kumcheki nakuta ka switch kawa personal trainer, navyo sikia ashawahi kua hadi mjeda, wapo wanaodai kua sometimes wamemuona akiwa masseur
Mkuu umebobea kwenye hii tasiniaUmaarufu TU.
Afu wadada wengi walio kwenye tasnia wanampenda Sana jamaa, wengi wanamsifia kua anajua kuhit the perfect spot.
Nmefuatilia Howard stern SHOW redio&Tv maalum kwa ajili ya adults.
Wanahost interview mbalimbali na legends wa tasnia.
Jamaa alkua Favourite Male performer kwa Miaka 3 mfurulizo kwa mtizamo wa wadada wenyewe wa kwenye tasnia.
Japokua Kuna wakongwe sana Kama kina Roy Jeremy,smallhands, Mandingo na wengineo TU.
Ila jamaa kawapiku wote
Kwahiyo wewe kumbe wapenda steak za kilo moja, sio vile vya robo kilo!?Basi nikakuta watu wanampambaa oooh analo sijui hivi bla bla ikabidi niingie tu kwa ajili yake...sikuona hata maajabu mie
Kabisa,Tena ninazo vault mbili.
Moja Ina icon ya biblia, nyingine Ina icon ya calculator.
Sent using Jamii Forums mobile app



ya calculator nazipata

Na ya biblia ivyo hivyo,ya calculator nazipata
Ukiifungua utaishia kupiga hesabu tu Kama hujui![]()

Ya biblia kwakweli sitoigusa aiseeNa ya biblia ivyo hivyo,
Utaishia kusoma tu neno la bwana kama hujui yaliyoko chini ya kapeti![]()

Wanavaaga sare gani
Kwahiyo hapa ndio PM, bebi wangu?Bebi sio hiyo..si ya ufundi hiyo
Hii nnayoongelea ni ya UBAZAZI
Ntakuja bebi..uwe na subiraKwahiyo hapa ndio PM, bebi wangu?
Abigaily wa kwenye bible alikuwa miyeyushoNtakuja bebi..uwe na subira
Hahahaa how..nabal mwenyewe si ndo alizinguaAbigaily wa kwenye bible alikuwa miyeyusho