Ukiwa na Imani za kiuzinzi hata bao kumi utafika tu ili mradi mkomoeni ipite mm Nina wake wawili wa ndoa it's depend na muhusika alivyo Basi mmoja hufika moja Ila mwengine hata tatu mnaenda. So depends on type.
Nimekuta sehemu watu wakijadili na kushindwa kufikia muafaka. Swali ni kwamba kwa nini nyumbani unapiga bao 1 kwa mchepuko bao 5? Je, ni kweli? Na inasababishwa na nini?