Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,392
- 7,863
Kuna ndugu yangu kaniuliza maana ya hiki kitu nimekosa jibu.
Kuna ndugu yangu kaniuliza maana ya hiki kitu nimekosa jibu.View attachment 1659892
Aisee!kazi yake ni kuchuja sauti,,,
Ni kama twita kwenye sabufa.
Nimekuja kwa spidi nilijua kuna kifaa Cha ajabu ...mh! pole Mimi.kazi yake ni kuchuja sauti,,,
Ni kama twita kwenye sabufa.
kazi yake ni kuchuja sauti,,,
Ni kama twita kwenye sabufa.


Mkuu kodoti ndo nini...?Ni maumbile tu kama kodoti
Nisaidie basiiUmekosew namna ya kuuliza
Hata wewe umekosea kuandikaa!Umekosew namna ya kuuliza
Nadhani alimaanisha kidotiiMkuu kodoti ndo nini...?
Wewe kweli ni nanga wa depokazi yake ni kuchuja sauti,,,
Ni kama twita kwenye sabufa.