Hii imeniuma balaa! Wanawake Mungu anawaona...

Hii imeniuma balaa! Wanawake Mungu anawaona...

Huyo mke wajamaa alichokuwa anakiongea sio kilicho moyoni mwake ila ninachokiona hapo ni story za kijiweni mkikutana nakuungana mkono. Pale mwelevu anapojaribu kumuunga mkono mpumbavu ili waendane ila ukweli wamwelevu ubaki moyoni mwake.

Mfano hata sisi wanaume tunapokuwa vijiweni, tunawananga sana wanawake wetu ila ukweli unabaki kwamuhusika mwenyewe
Biblia inasema "mtu huongea yaujazo moyo wake"

#YNWA
 
fahamu kuwa kuna mob psychology inawezekna anasea hivyo kwa kufurahisha genge au unafiki kwa wenzake na akawa tofauti kabisaa ktk tabia na matendo yake kwa mumewe....siyo kila linalosemwa linatendwa......
Anaekupenda atakutetea mpaka mbele za watu.

#YNWA
 
Nahisi mwerevu aliamua kwenda na biti za mpumbavu ili waende sawa.

Kuna nyakati unaangalia akili za unayeongea nae then unaenda nae sawa ili kuokoa muda wako.
Hapana aisee..
1. Binadamu hunena yaujazayo moyo wake.
2. Anaekupenda atakutetea mpaka mbele za watu.

#YNWA
 
Sema huwez jua sisi binadamu upendo hupanda na kushuka nna iman wengi waliooana walianza kupendana kwa 60++%
 
Back
Top Bottom