Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
- Thread starter
- #21
tulimpa kikwete kwa hiyo ajenda na matokeo ndiyo hayo
Hizi AJENDA, SERA na sijui nini ni UPUUZI mtupu. Nikisikia tu napata kichefuchefu.
CCM kila baada ya miaka 5 wanakuja na Sera na Ajenda zako unazozitaka nzuri tu na wanakuwa wamejipanga kwelikweli washinde ila wakishashinda, wanaifanya Kigoma kuwa Dubai.
Nafikiri ni muda ufike sasa tumpe ambaye hajajipanga na wala hana AJENDA.
Ajenda yake iwe moja tu, MAISHA BORA KWA WATANZANIA. Mengine Watanzania hawajali atafanyaje.