Pamoja nakutokua na maelezo marefu wandugu swali linabaki pale pale ...hii imekaa vipi? Coz mi nimeona mkuu hapa kachemka ndio maana wanasemaje "mwanaume si maumbile tu bali mwanaume wake msimamo" na ni kitambo sasa hatua atayochukua mkewe huku nyuma atamlaumu nani?