hii imekaaje!!

hii imekaaje!!

inaonekana kufuli za kina dada zinakosa wateja siku hizi, wachache wanaonunua wananunua zile za kambakamba tu. Nadhani kurahisisha ikitokea dharura
 
Haina shida kabisa ni wewe tu unapata taabu, zamani tulikuwa hatuvai kabisa nguo, kukaa uchi ni jadi ya Muafrika, yeye hakuwa na nia ya kujidhalilisha bali wewe uliyemleta hapa ndio unamdhalilisha!
 
Haina shida kabisa ni wewe tu unapata taabu, zamani tulikuwa hatuvai kabisa nguo, kukaa uchi ni jadi ya Muafrika, yeye hakuwa na nia ya kujidhalilisha bali wewe uliyemleta hapa ndio unamdhalilisha!

Huko unakokuzungumzia tulishatoka zamani,kwani wewe huvai nguo??tembea uchi basi si ndiyo jadi ya Muafrika?.Hayo ni mawazo mgando usitetee ujinga.Dada zetu wanajidhalilisha wenyewe,wanapaswa kuliona hilo na wabadilike.
 
Mkuu Gathii, wewe ndo unajidharirisha, yeye anayo kila siku akitaka anaiona, wewe usiyekuwanayo ndo unapata electricity- usiweke picha kama hizi janvini ili ulinde baadhi ya viungo vyako visiongezeke ukubwa kwa mda.
Huko unakokuzungumzia tulishatoka zamani,kwani wewe huvai nguo??tembea uchi basi si ndiyo jadi ya Muafrika?.Hayo ni mawazo mgando usitetee ujinga.Dada zetu wanajidhalilisha wenyewe,wanapaswa kuliona hilo na wabadilike.
 
big no to this. Kichaa wa mtaa asiyevaa nguo ni bora mara mia kwa huyu mpumbavu.
 
hebu nichukue miwani angu ya lens nadhani niatafaudu kuliko woote
 
Back
Top Bottom