Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah Dena my dia naona kama unanisema mie hivi hahha hahha bas bwana mie ilikuwa bday yangu jamaa nilie nae kifupi alisahau kila kitu wala sikumkumbusha Mungu mkubwa ila Ex alikumbuka kila kitu ,,! Kilichoendelea ni history :smash::smash::smash:
Mhh!!!
Mimi naomba niulize, huyo mme wa huyo dada aliyeandaa sherehe naye alikuwepo??? Ninavyojua wanaume walivyo na wivu,,,,yaani anakuruhusu umwandalie ex wako sherehe???!!! mhhh...hapo napata maswali!!!
Huyo mke naye alikuwepo tu hapo anakenua meno? mie nisingekubali miaka mia mbili, labda wafanye kisirisiri.lazima kuna kitu behind this. kwani we dena hukuona sign yeyote?
Kama karuhusu EX afanyiwe Birthday party, je, ni mengine yapi ambayo anaweza kumruhusu mumewe amfanyie ex wake? Hapa kuna utata mkubwa tu ambao si ajabu hata DA sidhani kama anaujua undani wake.
Mmmmmh na huu wivu nilionao sijui kama nitamwelewa huyo mwanauma. Ati my Ex ananiandalia sherehe ya besdei, jiandae twende....Mmmmmmh labda kama wanaishi ya maisha ya Ndio baba tutakwenda.....!!!!!!!
Kweli ngumu aisee mimi nahisi kama yule mama alikuwa hafahamu maana alikuwa happy tu. Au sijui lakini kuna kitu gani kiko ndani hapo maana hata mie siwezi kabisa
Ha ha ha ha kumbe wewe mgomvi eeehhh acha hizo wewe kula keki na soda then unaishia zako
Duh, hii kali.. lakini imeonyesha uungwana kwa watu walioachana kistaarabu bila kutupiana mayai mabovu.. changamoto ni kwa huyo mke wake, awe serious ataibiwa!
Duh nilikuwa sijawahi kukuona ukiongea hivi!!! Pole nambie basi hii ni haki kweli??