Wewe Unasema kutambulishwa kwa Dada yake ambe ukute hata sio dada yake ni mdangaji mwenzake...!! Mjini hapa mzee watu wanaenda kujitambulisha mpaka kwa wazazi dadekii na wakilaa wanasepaaa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Itakuwa bado una ubikra wa mambo ya mapenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.