Yah, hyo post imekaa kiushabiki zaidi. Ths z a crazy world bana, usibatize crap ya mtu mmoja kwa dini nzima. Mimi si Al-Islamiya, lakini sipendezi na ushabiki wa kidini hapa JF, afu kwani w3w3 unaumia kitu gani ati waislam au wakristu wakifanya vile? Mbona wewe mwenyewe, regardless dini yako, uko na midhambi kibao!
Hizi ni nyakati za mwisho.....