jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,521
Nikiangalia hiyo ndoa yenu dizain kama mmesha zoeana kila moja anatingisha kiberiti kama mdau alivyo sema pale juu kuwa inaonekana nyie siyo marafiki ... kuna vitu vingi sana vina miss .... lakini ndo maisha .... ushauri wangu anza kujifunza kujishusha ... kuna kitu kizuri utakitengeneza kwa faida ya badaye kwasabu silaha kubwa kwa mwanamke ni kujishusha sisi boys tunajijua