Hii imekaaje kupatwa kwa jua kuwa Njombe dunia nzima?

Nenda shule kunguni wewe

We mnyaturu fanya mambo yako usitafute umaharufu kupitia kwangu.[/QUOTE]


We mnyaturu fanya mambo yako usitafute umaharufu kupitia kwangu.
Kuna watu wa ambao unaweza kutafuta umaarufu kupitia wao..
Sasa ww kunguni una nini cha maana ambacho mtu anaweza kupatia umaarufu....labda ujinga[/QUOTE]






Wakuu acheni malumbano...Tuko hapa kwa ajili ya kueleweshana tu..kwa hiyo mnaonaje mkikaushiana na mambo mengine yaendelee kistaarabu
 
itakua saa ngapi?

INATEGEMEA UPO WAPI!

Dar-es-salaam
Kuanza kupatwa ............................................................. saa 4:13 asubuhi
Kilele cha kiza.................................................................. saa 6:04 mchana
Mwisho wa kupatwa......................................................... saa 7:56 mchana


Mbeya
Kuanza kupatwa ............................................................. saa 4:01 asubuhi
Kilele cha kiza.................................................................. saa 5:50 mchana
Mwisho wa kupatwa......................................................... saa 7:45 mchana


Mwanza
Kuanza kupatwa ............................................................. saa 3:52 asubuhi
Kilele cha kiza.................................................................. saa 5:37 mchana
Mwisho wa kupatwa......................................................... saa 7:31 mchana
 
Kuna watu wa ambao unaweza kutafuta umaarufu kupitia wao..
Sasa ww kunguni una nini cha maana ambacho mtu anaweza kupatia umaarufu....labda ujinga

Kwaheri maana naweza kuwa nabishana na KAOGE[/QUOTE]
Kaoge si ni yule shoga daah jf bana unaweza ukacheka pekee yako kama mwehu
 
Chanzo kikubwa kabisa cha mwanga katika sayari ni nyota. Na nyota inayotoa mwanga kwa wingi duniani ni jua. Mwezi na sayari hung'aa angani kwa kuakisi mwanga kutoka ktk jua. Kupatwa ni kitendo cha kuzuiwa mwanga. Kupatwa kwa jua ni kitendo cha mwezi kukaa kati ya dunia na jua, hivyo kuzuia mwanga wa jua kutofika duniani. Jua haliwezi kupatwa lote kwa kuwa mwezi ni mdogo kuliko jua na dunia pia. Kwa hiyo eneo ambao mwezi upo ndio kutakuwa na kupatwa kabisa "full eclipse" ila walio pembeni na ulipo mwezi watapata mwanga kidogo na walio mbali watapata mwanga wote. Kwa maana hiyo siku ya sept 1 mwezi huko angani utakuwa usawa wa Ludewa. Mfano mzuri wa kupatwa ni kama vile umekaa mbele ya ukuta usiku, gari ikimulika taa eneo la nyuma yako litakosa mwanga "limepatwa" na itakuwa kama Ludewa, ila maeneo ya pembeni yako yataendelea kupata mwanga kwa kuwa ww umbo lako ni dogo huwezi kuzuia mwanga wote unaotoka ktk channzo kikubwa. Kama kuna makosa wajuvi zaidi mnirekebishe.
 
Back
Top Bottom