The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
I give it to only one, n l am afraid u r not 'the one'.
:A S embarassed::A S embarassed:
I give it to only one, n l am afraid u r not 'the one'.
Anza kwa kutafuta massage oil madukani.
Halafu baada ya kuoga (kumuogesha, bila kusahau kumtawadha) na kumkausha maji, mlaze kitandani alalie tumbo.
Huku ukimtomasa tomasa na kumpa Maneno matamu, mdondoshee mafuta mgongoni (kumbuka uwe hujavaa kitu na umkalie mapajani bila kuput all the weight), anza na kumkanda shingo na mabega (usitumie nguvu nyingi, na usiache kummong'oneza masikioni). Muulize kama anaumia au uongeze nguvu kidogo.
Taratibu shuka mgongoni, mkamde ktkt ya mbavu, kama yuko selfish mkande kuelekea out, ili awe na mapenzi na watu, kama anajisahau yeye basi mkande inwards ili ajikumbuke.
Ongeza mafuta hadi kwenye backyard yake (yatiririshe), yafinyefinye mat.ko usitumie nguvu sana lkn.
Slide down ukae kwenye miguu ili ufanyie kazi mahips, then legs.
Mgeuze amalie back then anza na feet, toes, miguu, hips (ukiwa umemkalia kwenye kinena), then geuka cheza na kifua, mikono, kichwa (paji) la uso.
Unajua kinachofuatia! By the way how old are you? I hope umefikia right age na usisahau Condom.
Na mwisho kufanya mapenzi kabla na nje ya ndoa ni DHAMBI.
Huu ni upuuzi, Mwambie aende Mombasa watamfundisha utundu.Habarini wangwana? Ni mara ya 1 mimi kukutana na mwanamke na hakika demu wangu game nilihisi ananizidi mautundu .kaniambia nimfanyie mambo mengii nikashindwa
Naomba kufundishwa Jinsi ya kufanya MASEJI?
Kaazi Kweli kweli! Hivi kwa nini unataka kukimbilia mambo yaliyokuzidi umri?? Unadhani kuna mtu atakayekuwa yatari kukufundisha kufanya hiyo MESEJI unayoitaka??? ili iweje, nawe uwe fundi eeee au mwalimu? Katafute shule usome haya mambo hayakufai.
Ana umri gani huyu???? Aliambiwa afanye massage akafikiri ndo kapewa mzigo? Au maelezo yake ndo yameparaganyika?
labda tatizo lipo kwenye namna ya kuwasilisha ujumbe,muda mwingine tuvumiliane kidogo.