Hii ilikuwa Durban 1982

S.A is something else bro
 
Kaka nionyeshe road network ya Dar nikuonyeshe ya Nairobi uchanganyikiwe.

Hii ni ya Jo'burg
 
Naona upo Hillbrow,fanya tukutane Summit hapo tule vyombo
 
As long as upo wewe ni mtanzania tusaidazane kuibeba tu hii aibu ata kama unaishi nje😂
 
Yani ndio tupigiwe makelele yote haya!
View attachment 1986190View attachment 1986191
Hii ni BRT ya Durban ilitakiwa ikamilike mwaka 2000 ila bado iko hivi hadi leo.

Yani ina maana Tanzania ni mkia sana
Brt iliprove kuwa haikuwa na faida kwao, nakumbuka hata Johannesburg walijaribu ikiitwa reya vaya , haikuendelea sana ,
Nashangaa tunavyoitolea macho sisi huku , miaka 10 mbele tutajua kuwa hatujui.
 
Mkuu Upo kwa kaburu miaka 20 , bado unampa credit magu, ? Huu uchafu wa barabara ya njia nane umewahi kuuona huko kwa kaburu? Flyover za ubungo na Tazara umewahi kuziona wapi huko ?

Yani mtu amejenga vitu chini ya kiwango then bado unampa sifa ? Huu uchafu wa kituo cha mbezi unaweza kuulinganisha hata na park station ya hapo Jhb?
Kulula , mango airways zote zilikuwa zinafanya biashara side by side na south african airways, huku kwetu baada ya kununua ndege uliona kilichotokea kwa fast jet na precision?

Umenisikitisha sana asee, umekaa nje na kupata exposure, ila bado hujajifunza kitu
 
Soma vizuri post zangu.. nimekwambia sisi tulipata uhuru nchi ikiwa almost uchi (yan weupe walikuwa wanachukua vyetu bure na kwenda kujenga kwao). Hapa namaanisha asilimia kubwa ya majengo ya kuanzia miaka 70 hadi 2021, barabara, viwanja vya ndege, park station, fly over na vingine vingi vilivyoleta au vinavyoleta maendeleo ndani ya nchi tumejenga wenyewe chini ya maraisi wetu baba wa taifa mw J.K. Nyerere, mzee wetu Ali. H Mwinyi, hayati Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa tuna ngoja tuone upande wa bimkubwa mama Samia. Wenzetu walipata uhuru kutoka kwa weupe nchi ikiwa ina kila kitu unachokiona mfano ni hiyo picha aliyoweka mleta mada akisema ni ya mwaka 1987. Mimi nilitaka sasa kujua ni maendeleo yapi yaliofanywa na kiongozi mweusi ambayo yanazidi yale yaliofanywa na viongozi weusi wa nchi zingine ukitoa yale ambayo tayari walikuwa washatafuniwa na weupe. Hata sisi tungewaacha weupe waishi na kujenga Tz kama walivyojenga kaburu basi nchi yetu ingekuwa mbali. Ila baba yetu wa taifa hakutaka ujinga huo. Kwahiyo ni lazima niwape credit viongozi wetu na hasa Magu kwa yale waliyoyafanya ukilinganisha na hawa waliotafuniwa kila kitu lkn wameshindwa kurekebisha hata vile vichache vilivyobaki. Jiulize wangepata uhuru nchi ikiwa uchi kama sisi miaka ya 60 wangekuwa wamefanya kitu gani cha maana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…