Inakua kama ya utani flani hivi tu, mkiwa wawili...mine would express that sh!tty word only when she's kidding with me. With a 5yr age gape, I still don't like formality in the bedroom, after all we are spouses..
..binafsi hata kumsalimia mtu mzima "shikamoo" ni rare sana, kwanza silipendi hilo neno, sijui hata lina maana gani.
Mhhh mbele za wageni sijui naonajee, naona km inakua powaa mkiwa wawili tuMim huwa ananisalimia mara chache sana especially wakiwepo wagen lkn siku nyingine kamu kavu
Si kweli kwamba shikamoo inamaanisha mtu anakuheshimu, wengine wanaitumia kama utamaduni wa kusalimiana. Hata kama ikitolewa cha msingi urafiki usife.Maadili ya kiafrika ni sahihi, ila ukihitaji yale ya Google ndo hayo unayoyataka wewe,. Baby ndo imetubadilisha saana na kuzoea mfumo huu. Kwanini unataka muwe sawa? Pokea heshima yako mke anakupa thamani, mke ndio dira halisi ya watoto. Kwani kitu gani ukiitikia? Unasikia raaaaha mwenyewe ukiitwa baby, loool.!!
haa ha mkuu wewe oa dar bwanaMungu akupe nn tena bro hongera sana kabila gani na mm nsepe huko?
thanks kwani wewe mke/mpenzi wako anakusalimia vipi?Kwanza hoodiii humu ndani,mimi mgen hapa jf na nafurah pia kuungana na wanajamvi woote.naomba kuchangia uzi huu kwa tulivyo fundwa hivyo ndivyo inapaswa kufanyika.itikia km hutak mwambie pia ataacha
hahaaaa aaaa haya bwana ;muhallt thanksUuuuwwii watu wanafurahisha huyo alifikiri bado yupo na babake au
kweri kabisaDaah hii kweli jamiiforum,lakini ni swali zuri,mimi naona sio sawa
ha ha haina noma mkuu ;korbotoembu we kesho asubuhi muwahi yeye. Shikamoo mke wangu kabla ye hajasema. Au hata akisema yeye we usiitikie. Nawe sema mwamkie yeye.
Alaah kwan nani hana heshima bana?
kapenda uzee huu huuItikia tuu, " marhabaa mke wangu mpenzi" ...lets say shez 23 wewe mume una 33..shikamooo inakuhusu otherwize yafuta wazee wenzio
Masai dada pamoja kukutaka ukanikataa umeambulia kunasa kwa kibabu huhuhuuu...! Pole zako kumbe ndege mjanja kweli unaswa na tundu bovu...!Mi mchuchu kanizidi 10 years hata nijitahidi vipi kuacha kumsalimia najishtukia kishenzi
Nishazoea kumsalimia shkamoo na nikipotezea ananiambia haujambo hahaha so nasema sijambo shkamoo
Humsalimii bwa'she shikamoo? Amekuzidi miaka mingapiInakua kama ya utani flani hivi tu, mkiwa wawili

Ndivyo tulivyofunzwa atiii.... Shikamoo to who ever is older than you .... Even some Zanzibarian too.. I have one of my Aunt even though they don't live in Tz... Bust still she says shikamoo to her husband until now.. And they have been married since 1998 .. They are still happily married couples, utani upo, friendships and the love stills stand strong... Thanks..
hahahaha dua la kuku halimpati mwewe hahaha umenichekeshaMasai dada pamoja kukutaka ukanikataa umeambulia kunasa kwa kibabu huhuhuuu...! Pole zako kumbe ndege mjanja kweli unaswa na tundu bovu...!
Kisa na mkasa sina pesa ngoja kusukari kipande utalala hospital mpaka ukome..
Ungejua kipindi kile pesa ilikuwa shida sana! Baada ya kuokota kapu la helaa na mimi sasa hivi staki over 25 nacheza na teens wa18 to 23 wabichiwabichi tu sitaki regular...hahahaha dua la kuku halimpati mwewe hahaha umenichekesha
he is 36 am 26 sio mbaya hata kidogo

Hahaha sasa hvi una hela?Ungejua kipindi kile pesa ilikuwa shida sana! Baada ya kuokota kapu la helaa na mimi sasa hivi staki over 25 nacheza na teens wa18 to 23 wabichiwabichi tu sitaki regular...![]()
![]()
![]()
![]()
Aaawaapi...! Sidanganyiki tena we komaaa na huyo under 40 ila ujue after 4yrs ujiandae na kuhudumia pressure na sukari.Hahaha sasa hvi una hela?
Mimi bado mbichi kuliko hao under 20 tukikutana nisipokutajia umri wala uwezi jua
Hahaha kama ela ipo wewe sema gia tunabadili angani na shikamoo nitakupa kila asubuh