Hao wanaheshimiana haswaa...waacheMi niliduwaa siku moja nipo kwa anko nasikia shangazi anamsalimia shikamoo (seriously) na mjomba anaitikia. Ni kweli kamzidi umri lakini maana ya shikamoo inakujaje sasa wakati wanalala kitanda kimoja na hakuna wasichojuana?
Aaawaapi...! Sidanganyiki tena we komaaa na huyo under 40 ila ujue after 4yrs ujiandae na kuhudumia pressure na sukari.
Najilia form six kwa raha zangu..! Ata pesa hajui kutumia akipewa laki moja miezi miwili ajaomba tena, namlia timing ile anamaliza paper navuta kitu ndani afu ndiyo atakoma chuoni kitumbo hichoo..
nini maana shikamoo ukijua hutashangaa ila pia shikamo zingine uwa za zarau baada ya kukaa na cku kazaa ndan na akaanza kuvuliwa chupi nje haki mama shikamoo huatiiskiaHao wanaheshimiana haswaa...waache
Kweli huyo babaako mdogo kakudhibiti zile mambo xetu za tamutamu style za mbuzi kagoma kwenda huku unapitisha kwa mbele mkono unasugua kidizaib sijapata elimu hii tangu uache kuitoa...!Hahhaha haya bwana
Pole Dear .. Just tell them about that kuwa hupendi in nice way , na wataelewa tuu next time ... That's why I said some Zanzibarian which means not all of them.. Nilishuhudia couples wanaamkiana baada ya hiyo asalam alekhuum ...That's why I have said that.. Thanks..very rare sana watu wa visiwani na pwani kuamkia shikamoo zaidi ya salam alykum!...
naichukia sana shikamoo! nikiwa dar napata tabu sana... nkienda tanga kila sehemu ninayo pita ni salam alykum haijalishi mkubwa wala mdogo nakuwa very comfortable
Pole Dear .. Just tell them about that kuwa hupendi in nice way , na wataelewa tuu next time ... That's why I said some Zanzibarian which means not all of them.. Nilishuhudia couples wanaamkiana baada ya hiyo asalam alekhuum ...That's why I have said that.. Thanks..
Karibu jf mkuuKwanza hoodiii humu ndani,mimi mgen hapa jf na nafurah pia kuungana na wanajamvi woote.naomba kuchangia uzi huu kwa tulivyo fundwa hivyo ndivyo inapaswa kufanyika.itikia km hutak mwambie pia ataacha
Kumnyima K.Kwani anataka kukunyima nini labda? Teh
Hiyo inatokea kwa watu wazima wengi tu mkuu...yaani huku bara usipomsalimia mtu mzima kwa kusema shkamoo basi sio nidhamu. Ila mashuga mamies na mashuga dadies hawaipendi wanaona kama ni kuzeeshwa.
haha nakumbuka once nikiwa high school nilikwenda kulipa Ada ya mdogo wangu Bank, nikamkuta mama mtu mzima dirishani , she was a bank teller "HABIB BANK " sijui kama bado ipo ..au .. la.. !! alinilazimisha nimuamkie "shikamoo" nilikuwa mzito sana sijazoea kabisa , niliondoka sikumuamkia lakini nilijisikia vibaya! ..
nimekulia in a house my dad wants salam alyum or G`morning alipiga marufuku shikamoo...
Teh jirani atahusika kuziba pengoKumnyima K.
Teh teh mfano shikamoo babyKama kichwa cha habari hapo naomba je ni adabu au ndo mapenzi
ha ha ntake radhi, nimsalimie shikamoo mama watoto ,namna gani hii?Kama mke ndiyo amekupita miaka kama saba au nane hivi utamuamkia shikamoo?
safi snaaaMi mchuchu kanizidi 10 years hata nijitahidi vipi kuacha kumsalimia najishtukia kishenzi
Nishazoea kumsalimia shkamoo na nikipotezea ananiambia haujambo hahaha so nasema sijambo shkamoo
haaa wewe kweri ;nyani jikeLabda hujui kusugua vizur ndo maana anakusalimia labda.