Hii Iko sawa Mke kunisalimia shikamoo?

Hii Iko sawa Mke kunisalimia shikamoo?

Aaawaapi...! Sidanganyiki tena we komaaa na huyo under 40 ila ujue after 4yrs ujiandae na kuhudumia pressure na sukari.

Najilia form six kwa raha zangu..! Ata pesa hajui kutumia akipewa laki moja miezi miwili ajaomba tena, namlia timing ile anamaliza paper navuta kitu ndani afu ndiyo atakoma chuoni kitumbo hichoo..
Inasikitisha unavotake advantage of her innocence rather ignorance ya maisha,
Akija kujitambua let's say by the tym yuko kazini hivi ndo utaona kila rangi zake
 
Inasikitisha unavotake advantage of her innocence rather ignorance ya maisha,
Akija kujitambua let's say by the tym yuko kazini hivi ndo utaona kila rangi zake
Najua jinsi ya kumdhibiti wewe good newz she iz understanding kuliko ata wamama nyie mlio na brain iliyokomaa but inafuga akili changa.

Siyo kwamba ninaye ili kumdhulumu kimapenzi anajielewa sana na ni God fear..!

Afanyi ujinga sababu anajitambua siyo kwa maana kwamba anakosa access ya kufanya uhuni, ni mzuri kwa maana ni mrembo anavuka na Ku ignore kila ushawishi wa kijinga jinga. Anajua kwanini ananiona wa maana kwake si kwasababu ya pesa bali ananihitaji zaidi ya nilichonacho.
 
duh kwani mkuu wewe hua unaishi nae kwa style gani? isije kua we ndo kisababishi kwa life stlye yako ya faza house hadi kwa mkeo!
ila mkuu wala usiumize kichwa. fanya kumvizia na wewe uwe unamsalimia shkamoo. akikataa mwambie we mbona unanisalimiaga hivo.? hapo lazima itakua mada na utapata chance ya kumkataza kukusalimia kwa style hiyo. atazoea tu.
 
Najua jinsi ya kumdhibiti wewe good newz she iz understanding kuliko ata wamama nyie mlio na brain iliyokomaa but inafuga akili changa.

Siyo kwamba ninaye ili kumdhulumu kimapenzi anajielewa sana na ni God fear..!

Afanyi ujinga sababu anajitambua siyo kwa maana kwamba anakosa access ya kufanya uhuni, ni mzuri kwa maana ni mrembo anavuka na Ku ignore kila ushawishi wa kijinga jinga. Anajua kwanini ananiona wa maana kwake si kwasababu ya pesa bali ananihitaji zaidi ya nilichonacho.
'kumdhibiti'..Mara unamuona bora zaidi ya wanawake wengine,.. maamuzi ya mtoto wa form 6 na wa chuo au kazini ni sawaa??!..duh haya bana
Mi nikutakie kila la heri,akikusapraiiiz tunaona thread yako humu
 
Salama ya mambo ,vipi,mzima inatosha.

Hayo ya kuamkiana kwa wapenzi siyo sahihi.
 
Back
Top Bottom