Hii ikikutokea utamsalimia au unampotezea?

Hii ikikutokea utamsalimia au unampotezea?

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
10801832_709524145792237_4168499991655235121_n.jpg
 
mara nyingi wanaita anko sio baba

Tatizo haishii kwenye anko tu mkuu, lazima atauliza na ile ahadi ya jana "uncle we KESHO usiku tulipokuwa chumbani kwa mama si ulisema nitoke utanipa biskuti mbona hukinipa?"
 
Halafu mwenza wako yupo jirani.Lazima "unene kwa lugha" kwa kigugumizi grade one,dah!
 
Katikati ya ibada, unawaza salamu za nini? Tubu, toa sadaka sepa!
 
khaaa hapo ungekuwa muziki munene;hakawii kuuliza" eti anko ulisema ungeniletea pipi je iko wapi
 
Back
Top Bottom