Nashukuru Twaweza wamenisaidia kukuelewa wewe ni mburura na mzeee...jinga kabisa kutokana ma utafiti wa Twaweza..
Last edited by a moderator:
tusema machache na tuwe na staha! mengine tuache ushabiki mungu atulinde. kashfa ya lowassa ni ya serikali nzima, na zimekuwepo kashfa hata yeye alipoondoka, tumuachie mungu atawahukumu waongo wote, jambo la familia/nchi likiharibika asachiwa mmoja wakati wote wameshiriki!Lowasssa alikuwa waziri mkuu wa kwanza aliyepigwa chini kwa kashfa Tanzania hii. Usisahau hilo.
Na mtayarisheni ukisha uchaguzi kuna kesi zinamngoja.
tusema machache na tuwe na staha! mengine tuache ushabiki mungu atulinde. kashfa ya lowassa ni ya serikali nzima, na zimekuwepo kashfa hata yeye alipoondoka, tumuachie mungu atawahukumu waongo wote, jambo la familia/nchi likiharibika asachiwa mmoja wakati wote wameshiriki!
Msalimie Kenyatta.
Na ndiyo maana baraza lake la mawaziri likapigwa chini na akaondoka na wote waliohusika kwenye hiyo kashfa.
Na ndiyo maana tumempiga tena chini kuwa mgombea wa CCM.
Kitanda chako kikiingia kunguni unapuliza dawa, hukichomi kitanda - kumbuka hilo.
Ikulu.