Mbele kwa mbele hadi jehanam sio.CCM mbele kwa mbele.
Hata wewe unaiimba kimoyomoyo!
Bisha.
CCM ile ile Ikulu? Acha utani wewe ajuza, mbona unapingana na hilo komeo? Yeye kasema waliokuwa Ikulu ndio wamesababisha matatizo anayoyashangaa kila anakopita. Kasahau vikao vyote vya Ikulu alikuwa akihudhuria bila kukosa kwa miaka ishirini na zaidi!Ikulu.
Jifunze adabu. Mkipewa ukweli mnalalamika. Mwambie jamaa ajipange, Kiyama yake inakuja October 25.Mbele kwa mbele hadi jehanam sio.
CCM mbele kwa mbele.
Hata wewe unaiimba kimoyomoyo!
Bisha.
CCM mbele kwa mbele.
Hata wewe unaiimba kimoyomoyo!
Bisha.
Nasikia una chuo cha sita ni kweli?.we kaa haba hivi huo moto unaopelekewa huriziki tu hadi uhangaike na huku hebu tuliza kipa.pa chini jaribu kuwa na staha kdg hee jamani mwanamke gani kutwa kubishana na wanaume humuCCM mbele kwa mbele.
Hata wewe unaiimba kimoyomoyo!
Bisha.
Hata wewe unaiimba kimoyomoyo!
Ikulu.
Yaani unaugua ugonjwa mbaya kiasi cha kudhani kuwa tutakwenda kupiga kura kwa rhythm ya ahalimselema halija?
Mmeishiwa sera. Na mtapiga push-up sana mwaka huu. Next time mtuoneshe ujuzi wa kucheza mchiriku.
CCM ile ile Ikulu? Acha utani wewe ajuza, mbona unapingana na hilo komeo? Yeye kasema waliokuwa Ikulu ndio wamesababisha matatizo anayoyashangaa kila anakopita. Kasahau vikao vyote vya Ikulu alikuwa akihudhuria bila kukosa kwa miaka ishirini na zaidi!