Hii harusi kama tuko bar au Grosary

Hii harusi kama tuko bar au Grosary

Mpuuzi kweli, hiyo ni sherehe lazma washeherekee. Au mwenzetu ulitaka wakitoka kanisani waanze kusifu na kuabudu then wapige maombi ya kufa mtu na baada ya hapo wale nzige na asali na kurudi nyumbani kujiandaa na mfungo kwaajili ya kuombea hiyo ndoa!? Tumia akili kila jambo na muda wake kuna muda wa kulia na muda wa kucheka muda wa kusheherekea na muda wakuomboleza usitake kila mtu aishi kama Yohana mbatizaji wengine wanaweza kuishi kama Suleimani na wengine wakafuata maisha ya Musa. Cha muhimu ni kuwa tusimsahau mungu siku zite.
 
..mtumishi utakuwa husomi blblia au huielewi. Katika harusi ya KANA, baada ya pombe iliyoandaliwa kwisha watu walipiga kelele..ndipo mama ake.. akamfuata mwanae na kumwambia kuhusu kuishiwa pombe..mtoto kwa kutambua umuhimu wa pombe kwenye harusi akafanya miujiza yake akabadilisha maji kuwa pombe, watu we-weeeeeeee.
 
Sasa kuna shida gani hapo?si ndiyo maana ya sherehe au wewe ulitaka hotuba kama mko kwenye kongamano au warsha au semina au
 
..mtumishi utakuwa husomi blblia au huielewi. Katika harusi ya KANA, baada ya pombe iliyoandaliwa kwisha watu walipiga kelele..ndipo mama ake.. akamfuata mwanae na kumwambia kuhusu kuishiwa pombe..mtoto kwa kutambua umuhimu wa pombe kwenye harusi akafanya miujiza yake akabadilisha maji kuwa pombe, watu we-weeeeeeee.



mpendwa, pale Kana haikuwa pombe, it was juisi ya zabibu. Yesu hawezi kujipinga. Fumbuka macho
..mtumishi utakuwa husomi blblia au huielewi. Katika harusi ya KANA, baada ya pombe iliyoandaliwa kwisha watu walipiga kelele..ndipo mama ake.. akamfuata mwanae na kumwambia kuhusu kuishiwa pombe..mtoto kwa kutambua umuhimu wa pombe kwenye harusi akafanya miujiza yake akabadilisha maji kuwa pombe, watu we-weeeeeeee.
 
Mpuuzi kweli, hiyo ni sherehe lazma washeherekee. Au mwenzetu ulitaka wakitoka kanisani waanze kusifu na kuabudu then wapige maombi ya kufa mtu na baada ya hapo wale nzige na asali na kurudi nyumbani kujiandaa na mfungo kwaajili ya kuombea hiyo ndoa!? Tumia akili kila jambo na muda wake kuna muda wa kulia na muda wa kucheka muda wa kusheherekea na muda wakuomboleza usitake kila mtu aishi kama Yohana mbatizaji wengine wanaweza kuishi kama Suleimani na wengine wakafuata maisha ya Musa. Cha muhimu ni kuwa tusimsahau mungu siku zite.
sasa umeambiwa harusi ni bar? Pale inapashwa kuwa mahali pa kuusifu utukufu wa Mungu, sio kuendekeza kumsifu ibirisi kama ndiye aliyefungisha ndoa hiyo
 
Acha wale raahya banaaa!! Kwani hakukuwa na juice au soda ungekunywa tu mkuu!
 
1 mountain dew 600, Ceres moja 4000, jumla 4600. Single nililipa 50000, chenji 45400. Duuh...
 
Mtoa mada hujui kama pombe ni tamu ingawa sio chai?

Haitakiwi kujiona bora kuliko wengine

Haitakiwi kuona dhehebu/dini yako bora kuliko ya wengine

Sherehe sio yako iweje sheria wafate za kwako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom