The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,396
- 103,819
Ujaoa = hujaowa
mpendwa, pale Kana haikuwa pombe, it was juisi ya zabibu. Yesu hawezi kujipinga. Fumbuka macho
mpendwa, pale Kana haikuwa pombe, it was juisi ya zabibu. Yesu hawezi kujipinga. Fumbuka macho
Mchango nilitoa, single 50000
Sasa kuna shida gani hapo?si ndiyo maana ya sherehe au wewe ulitaka hotuba kama mko kwenye kongamano au warsha au semina au
Kuna harusi hapa nahudhuria ya dhehebu fulani, yaan full mipombe na miziki ya kusifu uibirisi tuuu. Nashindwa kuitofautisha na kukaa bar, maana baadhi ya wahudhuriaji wamevaa hovyoo, nyimbo ni zile za mabar n.k. Hapa nikalale zangu tu home, hakuna baraka hapa.
Ndugu zangu, ndoa ni tendo takatifu. Kushadadia pombe na miziki ya kidunia ni kuchafua baraka mlizopata kanisani. Sishauri pombe na malimwengu ktk sherehe za ndoa.
Wasalaam