Hii hapa dawa ya mwanaume msaliti/mchepukaji

Hii hapa dawa ya mwanaume msaliti/mchepukaji

sitaki kuamini uzi huu umeandikwa na mwanaume !!
 
Kuna thread nimesoma humu sikumbuki kuna mtu alisema wanaume nyie kuchepuka ipo yani haiepukiki kama kunywa maji vile hata kama mkeo ni perfect.
Kwa sisi wanawake naona mara kibao matangazo watu wanajiongeza makalio, sijui mnato na mataka taka kibao just to keep their men lakini wapi.
Unakuta mwanamke msafi, ana heshima ana tunza nyumba lakini bado mnachepuka....
Ko bora mtu yakimshinda atembee zake akatafute furaha mbele huko
akatafute furaha wapi wanawake bwana, umeshaambhwa Wanaume wote tunapena papuchi kama samaki na maji, kwahyo ukimuacha huyo eti ukatafute mwingine ndo utakua umefanya nini. Ndo maana mnamegwa na kukimbia mnakokimbilia mnakuta yale yale mnakimbia tena mnakuta yale yale na HAJIFUNZI. hakuna mwanaume asie na michepuko labda awe bubu afu kiziwi afu kipofu afu hanithi
 
Back
Top Bottom