Hii hapa barua ya Mariam kwa mumewe

Hii hapa barua ya Mariam kwa mumewe

Kuacha shule kwa ajili ya ndoa na maamuzi ya ubovu wa kiwango cha busness class
 
Nimesoma yote.
Pole sana.
Mabinti jitahidini mmalize masomo ndiyo muingie kwenye ndoa. Mnatupa uchungu wazazi wenu.
 
Pole sanaa Mariam! Mwamini Mungu na Yesu mwanae wa pekee ataujaza moyo wako na furaha isiyo kifani. "Aman yangu nawapa, na amani niwapayo mimi si kama ulimwengu utoayo" ongezea na Yeremia 32:2.....!
 
Pole sana mariam! Mimi sina cha kuchangia maana mwisho wa mwezi wa huu nitaleta majibu ya yaliyonikuta! Mpka sasa natumia PEP,Mara baada ya kungundua kuwa mwanamke Malaya niliyetaka kuzaa nae alikuwa mwathirika! Bado nipo kwenye dozi zimesalia SKU Tisa nikamlishe hii dozi! Lkn pia usikate tamaa maisha yanasonga mbele!

Waring! MSICHUKULIE POA, SIMULIZI ZINAZOKUJA HAPA HUWAGA ZA UKWELI, KAMA HAZIJAKUKUTA, HUWEZI KUAMINI! ILA NI MAISHA TUNAYOPITIA KATIKA HARAKATI ZA MAISHA YETU!


POLE WAZAZ WA MARIAM, POLE MARIAM NA ULAANIWE EWE MPUMBAVU ULIYEMWAMBUKIZA MARIAM KWA MAKUSUDI! PUMBAVU ZAKO
 
Ina maana hamkupima damu ? Au waliowafungisha ndoa hawakutaka majibu ya daktari?

Ina maana aliupata na kukuambukiza mkiwa ndoani ? Kama si kweli hii story ni ya kuwakumbusha watu tuu kuwa ukimwi upo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom