crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,410
- 3,376
Inanitokea mara kadhaa nikiwa nimelala hata mchana huwa ninahisi mwili kunesanesa kwa kasi, nashindwa kufumbua mdomo na macho na kuhema wakati huo,
ni wakati ambao huwa ninaomba sana kimoyomoyo kwani huwa ninaona ndio tumaini pekee lililobaki ni kama nahisi kufakufa hivi na sitamani kabisa kuguswa wakati huo.
ni dalili ya nini hii?
kuna ambao mnapitia hii?
ni wakati ambao huwa ninaomba sana kimoyomoyo kwani huwa ninaona ndio tumaini pekee lililobaki ni kama nahisi kufakufa hivi na sitamani kabisa kuguswa wakati huo.
ni dalili ya nini hii?
kuna ambao mnapitia hii?