Kabisa mkuu,bahati mbaya sana tukifa fahari yote ya dunia tunaicha. Shida anabakia nayo mtoto wa kike aliebakwa na babayake kila anapopita ananyooshewa kidole. Hali kadhalika kwa akina mama piaKwa kweli naona hii tamaa ya utajiri wa ghafla inaharibu hali ya hewa